Jumatano, 6 Agosti 2014

RIDHIWANI KIKWETE AAPISHWA KUWA WAKILI


Mke wa Rais Mama salma Kikwete, akimpongeza mwanae, Ridhiwani Kikwete, kwa kumpa shada la maua baada ya kutunukiwa Cheti cha kuwa Wakili wa kujitegemea, wakati wa hafla ya kuwatunuku mawakili 128, iliyofanyika kwenye viwanja vya Mahakama Kuu jijini Dar es Salaam.


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni