Jumatatu, 11 Agosti 2014

MH. RIDHIWANI AZINDUA MRADI WA MAJI MBALA


 Mbunge wa Jimbo la Chalinze,Mh. Ridhiwani Kikweteakimtwisha Maji Mama mwenye asili ya Kimasai mara baada ya Uzinduzi wa Maji.


 Mbunge wa Jimbo la Chalinze,Mh. Ridhiwani Kikwete akizungumza wananchi.

Mbunge wa Jimbo la Chalinze Ridhiwani Kikwete akizindua mradi wa maji kwenye Kijiji cha Mbala hapa anaonekana akifungua maji kwa ajili ya kunyweshea mifugo.

 Mbunge wa Jimbo la Chalinze,Mh. Ridhiwani Kikwete akizungumza wananchi.

Mbunge wa Jimbo la Chalinze,Mh. Ridhiwani Kikwete akizindua mradi wa maji kwenye kijiji cha Mbala kata ya Vigwaza.kushoto ni askofu mkuu wa Jimbo la Mashariki ya kanisa la Waadventista wasabato,Askofu Mark Malekana. 

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni